Akawanyeshea Mana
Akawanyeshea Mana | |
---|---|
Choir | - |
Album | Nyumba ya Roho |
Category | TBA |
Composer | D. E. Ng'atiwa |
Akawanyeshea Mana Lyrics
AKAWANYESHEA MANA
Akawanyeshea mana ili wale *3
Akawapa nafaka ya mbinguni *2
1. Mambo tuliyo yasikia na kuyafahamu ambayo baba zetu walituambia,
hayo hatuwaficha wana wao, huku tukiwaambia kizazi kingine, sifa za Bwana na nguvu zake.
2. Lakini aliamuru mawingu juu akaifungua aha aha
milango oho ya mbinguni akawapa nafaka ya Mbinguni.
3. Mwanadamu akala chakula cha mashujaa aliwapelekea
chakula cha kuwashibisha chakula cha kuwashinisha.
Akawanyeshea mana ili wale *3
Akawapa nafaka ya mbinguni *2
1. Mambo tuliyo yasikia na kuyafahamu ambayo baba zetu walituambia,
hayo hatuwaficha wana wao, huku tukiwaambia kizazi kingine, sifa za Bwana na nguvu zake.
2. Lakini aliamuru mawingu juu akaifungua aha aha
milango oho ya mbinguni akawapa nafaka ya Mbinguni.
3. Mwanadamu akala chakula cha mashujaa aliwapelekea
chakula cha kuwashibisha chakula cha kuwashinisha.
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |