Bwana Alikuwa Tegemeo
Bwana Alikuwa Tegemeo | |
---|---|
Choir | St. Ambrose Kikuya Arusha |
Category | Zaburi |
Composer | Ajabu J. Ndahitobhotse |
Source | Arusha Tanzania |
Bwana Alikuwa Tegemeo Lyrics
{Bwana alikuwa - tegemeo langu ooh aee
Bwana alikuwa tegemeo langu ooh aee } *2
{ Akanitoa (oh oh ) akanipeleka (pale) panapo nafasi
Aee ooh ooh Akaniponya (mimi)
kwa kuwa aipendezwa nami } *2
1. Bwana alinitendea sawasawa na haki yangu
Maana nimezishika njia zake
wala sikumuasi Mungu
2. Nimeshika maagizoye,
Sikuacha na amri zake
Mbele za Bwana sikuwa na hatia
Nikainua wema wangu mbele zake
3. Atukuzwe Baba na Mwana
Naye Roho Mtakatifu
Kama mwanzo na sasa na siku zote
Na milele milele yote, amina
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |