Kwa Jinsi Ujionavyo
Kwa Jinsi Ujionavyo | |
---|---|
Choir | St. Cecilia Kijenge |
Category | Tafakari |
Composer | J. Urassa |
Source | Tanzania |
Kwa Jinsi Ujionavyo Lyrics
Kwa jinsi ujionavyo (ndivyo) ndivyo ulivyoumbwa
Tena kwa mfano wake Yesu Kristu Mwokozi wetu
Furaha leo tuimbe shangwe
Tupige ngoma filimbi na vigelegele
Tufurahi tufurahi na Bwana Yesu
1. Yeye mwenyewe aliona kwa jinsi hii utapendeza
Sasa mbona wewe wamsahau Bwana Mungu wako
Waisahau hata Sabato siku ya kumshukuru Mungu
2. Tusijiongeze vitu vingine ndugu vya kujipamba
Njoo kwake Bwana Yesu atakupamba upendeze
Ili uweze kufika kwake Mungu kwenye uzima milele
3. Ni Yesu Kristu peke yake aliye na upendo zaidi
Katuandalia karamu kabla ya mauti yake
Kaibariki kila tuilapo tupate uzima milele
4. Ulapo bila kustahili ndugu ungoje hukumu yako
Alisema mwenye moyo safi ajongee mezani
Siku ile ya hukumu nitamwita kwenye ufalme Mbinguni
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |