Kristu Amekuwa Mtii
Kristu Amekuwa Mtii | |
---|---|
Choir | St. Joseph Cathedral Dar-es-Salaam |
Category | Kwaresma na Toba (Lent & Repentance) |
Composer | A Muyonga |
Musical Notes | |
Time Signature | 2 4 |
Music Key | G Major |
Notes | Open PDF |
Kristu Amekuwa Mtii Lyrics
{ Kristu amekuwa mtii kwa ajili yetu, mpaka kufa,
Hata kufa msalabani, hata kufa msalabani } *2
-
Kristu alijinyenyekeza, akawa mtii hata mauti
Naam mauti ya msalaba -
Kwa hiyo Mungu alimuadhimisha mno,
Akamkirimia jina lile lipitalo kila jina -
Ninyi mnaomcha Bwana msifuni
Enyi wote mlio uzao wa Yakobo mtukuzeni