Amua Mwenyewe

Amua Mwenyewe
Performed bySt. Paul Students' Choir (University of Nairobi)
AlbumMshike Mshike (Vol 5)
CategoryEkaristia (Eucharist)
ComposerJ. C. Shomaly
Views6,202

Amua Mwenyewe Lyrics

  1. { Amua mwenyewe ndugu unayesikiliza,
    Kwa moyo wako pia matendo yako
    Amua mwenyewe ee amua mwenyewe } *2
    Siku itafika tena yaja,
    Hakutakuwa kuamua, wala kuambiwa maana
    { Kila mtu atauchukua, atauchukua
    mzigo wake mwenyewe } *2

  2. Ndugu amua mwenyewe leo,
    Uchague kwa moyo wako.
  3. Uache dhambi umrudie Mungu,
    Uchague kwa moyo wako.
  4. Toa sadaka za kumpendeza,
    Uchague kwa moyo wako.