Bwana Amejaa Huruma
Bwana Amejaa Huruma | |
---|---|
Choir | St. Cecilia Zimmerman |
Album | Nimezitambua Hila (Vol 5) |
Category | Zaburi |
Composer | J. C. Shomaly |
Bwana Amejaa Huruma Lyrics
Bwana amejaa huruma (amejaa)
Bwana amejaa huruma na neema
1. Ee nafsi yangu umhimidi Bwana,
Naam vyote vilivyomo ndani yangu
Vilihimidi jina lake takatifu
2. Akusamehe maovu yako
Akuponye magonjwa yako yote
Akutie taji ya fadhili na rehema
3. Bwana ndiye afanyaye mambo ya haki,
Na hukumu kwa wote wanaoonewa
Alimjulisha Musa njia zake
4. Bwana amejaa huruma na neema
Haoni hasira upesi
Ni mwingi wa fadhili na rehema
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |