Bwana Tunakushukuru
   
    
     
         
          
            Bwana Tunakushukuru Lyrics
 
             
            
- Bwana tunakushukuru *2
 Bwana tunakushukuru *2
- Kwa wema wako
 Twashukuru eeh eeh twashukuru *2
 Umetulisha -
 Umetunywesha -
- Kweli ee Bwana -
 Unatupenda -
 Sisi wanao -
- Sote tuimbe - aleluya eeh eeh aleluya
 Tumekombolewa -
 Shetani kashindwa -
- Unatujali -
 Tucheze pamoja -
 Bwana ni mwema -
- Unatujali -
 Unatupenda -
 Unatutunza -
- Njooni tucheze -
 Sikukuu yetu -
 Na ngoma tucheze -
- Njooni tucheze -
 Umetulinda -
 Unatutuma -
- Wazazi wetu -
 Walezi wetu -
 Mmetulea -
- Shirika letu -
 Ulibariki-
 Na sisi sote -