Ee Bwana Uisikie Haki
Ee Bwana Uisikie Haki | |
---|---|
Choir | St. Paul Students' Choir (University of Nairobi) |
Album | Tazameni Miujiza (Vol 2) |
Category | Zaburi |
Composer | J. C. Shomaly |
Reference | Ps. 17 |
Musical Notes | |
Timesignature | 2 4 |
Musickey | C Major |
Ee Bwana Uisikie Haki Lyrics
Ee Bwana uisikie haki, usikie haki
Utege sikio lako Bwana, kwa maombi yangu (Bwana)
{ Usikilize maombi yangu yasiyotoka katika,
Yasiyotoka katika midomo ya hila } *2
1. Nyayo zangu zimeshikamana, zimeshikamana na njia zako,
Hatua zangu haziku, hazikuondoshwa.
2. Ee Mungu nimekuita wewe, kwa maana wewe utaitika,
Utege sikio lako nisikie mimi.
3. Unifiche chini ya uvuli, chini ya uvuli wa mbawa zako
Niamkapo nishibishwe kwa sura yako.
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |