Bwana Unayoyatenda
Bwana Unayoyatenda | |
---|---|
Performed by | St. Paul Students' Choir (University of Nairobi) |
Album | Mbinguni Kutakuwa Raha (Vol 4) |
Category | Thanksgiving / Shukrani |
Composer | J. C. Shomaly |
Views | 5,249 |
Bwana Unayoyatenda Lyrics
{ Bwana unayoyatenda kwangu mimi ni huruma ya kweli
(ya kweli) sitakuwa na fadhila nisipokiri haya } *2
{ Kuniumba, bila ya kukwambia, akili yangu tofauti sana
Ninalala pia ninaamka tazama niko hai } *2- Uhai nilio nao, sijanunua lolote,
Bwana nashukuru sana ninasema asante - Marafiki umenipa, maisha ya kupendeza,
Bwana nashukuru sana ninasema asante - Umenipa na watoto, yote sikutarajia,
Bwana nashukuru sana ninasema asante - Yote umetenda kwangu, bila mimi kuwa mwema
Bwana nashukuru sana ninasema asante