Bwana Unayoyatenda
Bwana Unayoyatenda | |
---|---|
Choir | St. Paul Students' Choir (University of Nairobi) |
Album | Mbinguni Kutakuwa Raha (Vol 4) |
Category | Thanksgiving / Shukrani |
Composer | J. C. Shomaly |
Bwana Unayoyatenda Lyrics
{ Bwana unayoyatenda kwangu mimi ni huruma ya kweli
(ya kweli) sitakuwa na fadhila nisipokiri haya } *2
{ Kuniumba, bila ya kukwambia, akili yangu tofauti sana
Ninalala pia ninaamka tazama niko hai } *2
1. Uhai nilio nao, sijanunua lolote,
Bwana nashukuru sana ninasema asante
2. Marafiki umenipa, maisha ya kupendeza,
Bwana nashukuru sana ninasema asante
3. Umenipa na watoto, yote sikutarajia,
Bwana nashukuru sana ninasema asante
4. Yote umetenda kwangu, bila mimi kuwa mwema
Bwana nashukuru sana ninasema asante
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |