Ee Bwana Nakuinulia Nafsi

Ee Bwana Nakuinulia Nafsi
Performed by-
CategoryZaburi
Views3,065

Ee Bwana Nakuinulia Nafsi Lyrics

  1. {Ee Bwana * 3 nakuinulia nafsi yangu }*2
    {Ee Mungu nimekutumaini }*3
    wewe nisiaibike milele *2

  2. Ee Bwana unijulishe nijulishe njia
    Unifundishe mapito yako
  3. Niongoze katika kweli katika kweli yako
    Uniongoze na kunifundisha
  4. Bwana Mungu ni mwema sana pia
    Ni mwenye adili atawafundisha wenye dhambi