Tembea Nami Bwana
Tembea Nami Bwana | |
---|---|
Choir | Kwaya Kuu ya St. Cecilia Arusha |
Album | Kidole Juu (Vol 23) |
Category | Tafakari |
Composer | C. A. L. Ndomelo |
Source | St. Theresa Cathedral Arusha Tanzania |
Musical Notes | |
Timesignature | 2 4 |
Musickey | A Major |
Notes | Open PDF |
Tembea Nami Bwana Lyrics
{Ee Bwana Mungu wangu
Tembea nami usiniache kwenye dunia (hiyo)
Ya machafuko } *2
Nikianguka, Bwana, uniinue Bwana
Nikiteleza, Bwana, unishike mkono
Uniepushe na maadui wa roho yangu
Uniepushe na maadui wa roho yangu
1. Tazama ninaishi kwa mashaka na hofu kubwa
(Kwani) Baadhi ya wanadamu wenzangu wamegeuka
Kuwa ni maadui zangu,
Wananiwinda wanikamate wavinyokoe viungo,
Eti wajipatie mali.
2. Tazama ninaishi kwa mashaka na hofu kubwa
(Kwani) Baadhi ya
Bwana na wameshauawa,
Wamewakata vichwa na mikono, na miguu yao Bwana,
Eti wajipatie mali
3. Tazama sisi wanao wakiwa twakimbilia (kwako)
(Kwako) twazikabidhi roho zetu mikononi mwako
Maana ni wewe kimbilio
Usituachie adui zako watutie mikononi
Bwana utushike mkono
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |