Mpanda Farasi

Mpanda Farasi
Performed bySt. Benedict Rapogi
AlbumHuyu Ni Yesu (Vol 1)
CategoryZaburi
Views4,021

Mpanda Farasi Lyrics

  1. Nitamwimbia Bwana wangu, ametukuka sana,
    Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini *2

  2. Bwana ndiye nguvu yangu, pia wimbo wangu,
    Amekuwa wokovu wangu wa hakika, nasema
  3. Mwanafarasi naye na farasi wake
    Bwana amewatupa kwenye bahari,
  4. Yeye ndiye Mungu wangu nitamsifu daima
    Mungu wa baba yangu nitamtukuza,
  5. Gari lake Farao na jeshi lake
    Bwana amewatupa kwenye bahari,
  6. Na hakika yote, wateule wote
    Wamezama katika bahari ya Shamu,