Habari Tuliyoleta
Habari Tuliyoleta | |
---|---|
Choir | St. Paul Students' Choir (University of Nairobi) |
Album | Habari Tuliyoleta (Vol 6) |
Category | Zaburi |
Composer | J. C. Shomaly |
Source | University of Nairobi |
Reference | Is. 53 |
Musical Notes | |
Musickey | D Major |
Habari Tuliyoleta Lyrics
Je! Je! Ni nani aliyesadiki habari hii tuliyoleta
Na mkono wa Bwana amefunuliwa nani
Maana alikua mbele zake kama mche kama mche mwororo
(Na kama) kama mzizi katika nchi kavu
{ Alidharauliwa na kukataliwa na watu
Mtu mwenye huzuni nyingi ajuaye sikitiko } *2
1. Ni kama mtu ambaye watu humficha uso
Aliyedharauliwa, hakuhesabiwa kitu
Hakika kayachukua, na masikitiko yetu,
Amejitwika huzuni, huzuni, huzuni yetu
2. Lakini tulidhania, yeye kuwa amepigwa
Ya kuwa yeye kapigwa kapigwa yeye na Mungu
Bali alijeruhiwa, yeye kwa makosa yetu
Alichubuliwa yeye, pia kwa maovu yetu
3. Adhabu amani yetu, ilikuwa juu yake,
Kwa kupigwa kwa sisi, sisi sote tumepona
Sisi ni kama kondoo, kondoo tumepotea
Tumegeukia njia, kila mtu njia yake
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |