Hubirini Hubirini
| Hubirini Hubirini | |
|---|---|
| Performed by | St. Paul Students' Choir (University of Nairobi) | 
| Album | Mshike Mshike (Vol 5) | 
| Category | Injili na Miito (Gospel) | 
| Composer | J. C. Shomaly | 
| Views | 4,753 | 
Hubirini Hubirini Lyrics
- { Hubirini, hubirini,
 Hubirini kwa sauti ya kuimba, hubirini nyote
 Tangazeni haya yatamkeni mpaka mwisho wa dunia } *2
 Semeni Bwana, amelikomboa, amelikomboa, amelikomboa
 Taifa taifa, taifa taifa, taifa lake - *2
- [ s ] Pigieni Mungu vigelegele enyi wenye haki
 Kusifu kunawapasa wanyofu, wanyofu wa moyo
- Kwa kuwa Bwana ni mkuu na mwenye kusifiwa
 Hubirini hubirini hubirini kwa sauti ya kuimba
- Zitajeni sifa zake ametukuka Bwana Mungu
 Hubirini hubirini hubirini kwa sauti ya kuimba
 
  
         
                            