Huruma Bwana

Huruma Bwana
Performed by-
CategoryKwaresma na Toba (Lent & Repentance)
Composer(traditional)
Views6,504

Huruma Bwana Lyrics

  1. Huruma Bwana, huruma kwa watu wako
    Uliowakomboa kwa damu yako takatifu *2

  2. Ee Mungu unirehemu,
    Sawa sawa na fadhili zako.
  3. Kiasi cha wingi wa rehema zako,
    Uyafute makosa yangu.
  4. Unioshe kabisa na uovu wangu,
    Unitakase dhambi zangu.
  5. Ee Mungu uniumbie moyo safi,
    Uifanye upya roho uliyotulia ndani yangu.
  6. Usinitenge na uso wako,
    Wala Roho wako Mtakatifu usiniondolee.