Huyu ni Yule Yesu

Huyu ni Yule Yesu
Performed bySt. Kizito Makuburi
AlbumNyumba ya Roho
CategoryJumapili ya Matawi (Palm Sunday)
ComposerAlfred Ossonga
Views6,271

Huyu ni Yule Yesu Lyrics

  1. Huyu ni yule Yesu, [t] Yesu
    Yesu mwana wa Daudi
    Huyu ni yule Yesu, [s] Yesu
    Mwana wa Galilaya

  2. Mwambieni Binti Sayuni, tazama mfalme wako
    (Anakuja kwako mpole, amepanda mwanapunda*2)
  3. Inukeni enyi malango, inueni vichwa vyenu
    (Mfalme apate ingia, mfalme wa utukufu *2)
  4. Na watoto wa Wayahudi, walimlaki Mwokozi
    (Wakiyachukua matawi, wakipiga makelele *2)
  5. Aliyakemea mawimbi, bahari ikatulia
    (Akatembea juu ya maji, akatembea kwa miguu *2)
  6. Aliponya wagonjwa wengi, kwa neno la kinywa chake
    (Hata vazi lake ni dawa, yule mama alipona *2)
  7. Alimfufua Lazaro, Lazaro aliyekufa
    (Akarudi tena mzima akatoka kaburini *2)