Harusi Yetu Leo

Harusi Yetu Leo
Alt TitleJamani Leo ni Furaha
Performed byOur Lady of Fatima Kongowea
AlbumKila Mwenye Pumzi (vol 4)
CategoryHarusi
Views7,946

Harusi Yetu Leo Lyrics

  1. { Jamani leo ni furaha,
    Leo leo kwetu sisi ni furaha, furaha } *2

    Harusi yetu leo tuishangilie,
    hongera kwenu, tunawapa heko
    Wapenzi wametuita tuwape heko,
    hongera kwenu, tunawapa heko,
    { Nazo baraka zake Mungu ziwe nanyi pia,
    maishani mwenu } *2

  2. Mimi nimekuchagua uwe wangu wa maisha,
    Naahidi takupenda siku zote milele.
  3. Mimi kweli nitakupenda kwa roho yangu yote,
    Kama vile Yesu alivyoipenda kanisa
  4. Angalia vazi langu lilivyopambwa marembo,
    Hata ndege wa angani wanatushangilia.
  5. Mwendo wako wa maringo, sura yako ya mapenzi,
    Mungu Baba atujalie baraka milele