Jipeni Moyo

Jipeni Moyo
Performed bySt. Paul Students' Choir (University of Nairobi)
AlbumMshike Mshike (Vol 5)
CategoryEkaristia (Eucharist)
ComposerJ. C. Shomaly
Views4,870

Jipeni Moyo Lyrics

  1. Waambieni wenye moyo safi, jipeni moyo
    Waambieni wenye moyo safi, jipeni moyo

    { Tazama Mungu wenu anakuja kuwaokoa,
    Naye atawasikizisha ninyi sauti yake katika

    /s/ Furaha ya mioyo yenu *2
    Furaha ya mioyo yenu, mioyo yenu

    /a/ Furaha furaha, furaha ya mioyo
    Furaha ya mioyo, mioyo yenu
    /t/ Furaha, furaha, furaha ya mioyo yenu
    Furaha ya mioyo yenu
    /b/ Furaha, furaha, furaha, furaha
    Furaha ya mioyo mioyo yenu } *2
  2. Na waambieni (waambieni) wote jipeni moyo (jipeni moyo),
    Mungu wenu anakuja kuwaokoa
  3. Machozi yenu (na kilio), pia ni furaha yenu (hakika),
    Kupanda ndio machozi, mavuno furaha
  4. Nyenyekeeni (nyenyekea) wote kiti chake Mungu (cha Mungu),
    Mpate uzima ule utokao kwake