Jipeni Moyo
| Jipeni Moyo | |
|---|---|
| Performed by | St. Paul Students' Choir (University of Nairobi) | 
| Album | Mshike Mshike (Vol 5) | 
| Category | Ekaristia (Eucharist) | 
| Composer | J. C. Shomaly | 
| Views | 5,423 | 
Jipeni Moyo Lyrics
- Waambieni wenye moyo safi, jipeni moyo
 Waambieni wenye moyo safi, jipeni moyo
 { Tazama Mungu wenu anakuja kuwaokoa,
 Naye atawasikizisha ninyi sauti yake katika
 /s/ Furaha ya mioyo yenu *2
 Furaha ya mioyo yenu, mioyo yenu
 /a/ Furaha furaha, furaha ya mioyo
 Furaha ya mioyo, mioyo yenu
 /t/ Furaha, furaha, furaha ya mioyo yenu
 Furaha ya mioyo yenu
 /b/ Furaha, furaha, furaha, furaha
 Furaha ya mioyo mioyo yenu } *2
- Na waambieni (waambieni) wote jipeni moyo (jipeni moyo),
 Mungu wenu anakuja kuwaokoa
- Machozi yenu (na kilio), pia ni furaha yenu (hakika),
 Kupanda ndio machozi, mavuno furaha
- Nyenyekeeni (nyenyekea) wote kiti chake Mungu (cha Mungu),
 Mpate uzima ule utokao kwake
 
  
         
                            