Jua Likichomoza

Jua Likichomoza
Performed bySt. Paul Students' Choir (University of Nairobi)
AlbumHabari Tuliyoleta (Vol 6)
CategoryGeneral
ComposerJ. C. Shomaly
Views4,024

Jua Likichomoza Lyrics

  1. Jua likichomoza mji wote huu na! ta! za! ma
    Naona msafara, msafara,
    Pilika pilika nyingi kila mtu ataka ku! pa! ta! riziki
    Inachanganya, inachanganya,
    Magari na watu katika mji mzima

    Najiulizauliza Mbinguni tutakuwa wangapi
    Kama hapa tuko hivi dunia yote tutakuwa wangapi?
    ([a] Swali gumu sana)
    Lo kweli Mungu wetu yeye ni mwenye uwezo
    {(Na tena) Gari lako liwe sala,
    Njia yako iwe Yesu, nyumbani kuwe mbinguni
    Kwenye makao yake Mwenyezi Mungu,
    Sheria kanuni zake Mungu hutumika
    kwa wanaompenda }*2

  2. Yeye ni mwenye uwezo -
    ukitubu utamwona Mungu
    Tajiri au masikini - ukitubu utamwona Mungu
  3. Yeye hana msafara -
    Hata hana askari -
  4. Mwizi acha kuiba -
    Mwenye fitina uache -