Kila Penye Ngoma
| Kila Penye Ngoma | |
|---|---|
| Performed by | Kwaya Kuu ya St. Cecilia Arusha | 
| Album | Bwana Kafufuka | 
| Category | Harusi | 
| Composer | A. S. Haule | 
| Views | 7,975 | 
Kila Penye Ngoma Lyrics
- { Kila penye ngoma, hapakosi chereko (chereko)
 Na kila penye chereko chereko
 Zawadi zawadi hazikosi } *2
 { Twendeni sasa kwa Bwana mfufuka
 Aliyeyashinda mauti mzima kweli
 Zawadi zawadi tukatoe } *2
 { Haya twende twende twende
 Zawadi tumwage tumwage
 Kwa Bwana aliyefufuka, fufu-ka } *2
- Watu hutoa zawadi nzuri tena za kutamanisha
 Siku siku ya harusi, siku ya ngoma
 Je mimi nitatoa nini hata kikupendeze
 Siku siku ya kufuka, siku ya leo
- Bwana simama kwa chereko, nyimbo ngoma na vigelegele
 Siku siku ya kufuka, siku ya leo
 Nawe jirani twende tukatoe hata kidogo usisite
 Siku siku ya kufuka, siku ya leo
 
  
         
                            