Kuhani Hata Milele

Kuhani Hata Milele
Performed bySt. Paul Students' Choir (University of Nairobi)
AlbumMilele Milele Msifuni (Vol 1)
CategoryZaburi
ComposerJ. C. Shomaly
Views4,007

Kuhani Hata Milele Lyrics

NDIWE KUHANI

  1. [b] Ndiwe kuhani hata milele -
    [w] kuhani hata milele
    [b] Kwa mfano wake Melkisedeki -
    [w] kuhani hata milele
    [t] Kuhani - kuhani hata milele *2
    (a] Kuhani - kuhani hata milele,
    kwa mfano wake Melkisedeki
    [b] kuhani - kuhani hata milele

  2. Yesu Kristu ndiye mchungaji
    Huwalisha kondoo, wakati wake
  3. Huwatengeneza yatima
    pia nao wajane, kwa wema wake
  4. Nitamwimbia Mungu wangu
    ametukuka sana, Bwana wa vita