Kwa Kinywa Changu

Kwa Kinywa Changu
Performed bySt. Francis of Assisi Kariobangi
AlbumPaazeni Sauti
CategoryThanksgiving / Shukrani
ComposerAlfred Ossonga
Views5,948

Kwa Kinywa Changu Lyrics

  1. Kwa kinywa changu nitaziimba sifa zako
    Ulimi wangu utanena siku zote

    Oh Lord and my savior, I will sing for you *2
    Mwili wangu utaja na furaha mbele zako
    Moyo wangu utatoa shukurani kwako Baba

  2. Mikono yangu napeperusha juu hewani
    Nashangilia napigapiga hata makofi
  3. Miguu yangu narusharusha pande zote
    Naenda mbio nifike kule uliko nitubu
  4. Kwa macho yangu nitakuona Mungu wangu
    Kwa mawazo yangu nitakuwaza daima
  5. Kwa masikio yangu nitakusikiliza
    Uniitapo nitakuitika milele yote.