Kwa nini Malumbano
| Kwa nini Malumbano | |
|---|---|
| Performed by | St. Paul Students' Choir (University of Nairobi) | 
| Album | Mshike Mshike (Vol 5) | 
| Category | Tafakari | 
| Composer | Jerome M. | 
| Views | 4,938 | 
Kwa nini Malumbano Lyrics
- { Mbona watu wa mataifa wanafanya ghasia (ghasia)
 Na kuivuruga amani kati ya mataifa } *2
 {
 /b/ Kwa nini vita na malumbano viwepo,
 Amani imetoweka, kwa nini viwepo viwepo,
 kwa nini vita kwa nini vita viwepo kati yetu
 Sisi tulio kweli watoto wake Baba mmoja
 /t/ Kwa nini vita na malumbano viwepo kati yetu,
 sisi tulio kitu kimoja kwa nini vita viwepo kati yetu
 Sisi tulio kweli watoto wake Baba mmoja
 /a/ Kwa nini vita na malumbano viwepo
 kati yetu kwa nini vita viwepo kati yetu
 Sisi tulio kweli watoto wake Baba mmoja
 /s/ Kwa nini vita na malumbano vita viwepo kati yetu
 Sisi tulio kweli watoto wake Baba mmoja } *2
- Babu na bibi hawaelewani,
 Baba na mama, Kaka na dada wamefarakana
 Wamemsahau Mungu Baba
- Bila huruma, wengi wanaua,
 Watoto wasio na hatia, mbona wanatupwa,
 Sasa hukumu i juu yenu
 
  
         
                            