Kwa nini Malumbano

Kwa nini Malumbano
Performed bySt. Paul Students' Choir (University of Nairobi)
AlbumMshike Mshike (Vol 5)
CategoryTafakari
ComposerJerome M.
Views4,414

Kwa nini Malumbano Lyrics

  1. { Mbona watu wa mataifa wanafanya ghasia (ghasia)
    Na kuivuruga amani kati ya mataifa } *2
    {
    /b/ Kwa nini vita na malumbano viwepo,
    Amani imetoweka, kwa nini viwepo viwepo,
    kwa nini vita kwa nini vita viwepo kati yetu
    Sisi tulio kweli watoto wake Baba mmoja

    /t/ Kwa nini vita na malumbano viwepo kati yetu,
    sisi tulio kitu kimoja kwa nini vita viwepo kati yetu
    Sisi tulio kweli watoto wake Baba mmoja

    /a/ Kwa nini vita na malumbano viwepo
    kati yetu kwa nini vita viwepo kati yetu
    Sisi tulio kweli watoto wake Baba mmoja

    /s/ Kwa nini vita na malumbano vita viwepo kati yetu
    Sisi tulio kweli watoto wake Baba mmoja } *2

  2. Babu na bibi hawaelewani,
    Baba na mama, Kaka na dada wamefarakana
    Wamemsahau Mungu Baba
  3. Bila huruma, wengi wanaua,
    Watoto wasio na hatia, mbona wanatupwa,
    Sasa hukumu i juu yenu