Kwa Wingi wa Fadhili

Kwa Wingi wa Fadhili
Performed byKwaya Kuu ya St. Cecilia Arusha
AlbumKando ya Mito
CategoryThanksgiving / Shukrani
ComposerVictor Aloyce Murishiwa
Views8,013

Kwa Wingi wa Fadhili Lyrics

  1. [s] Kwa wingi wa fadhili zako,
    [w] Kwa wingi wa rehema zako
    |s| Bwa-na Bwana nikushukuruje Bwana
    |a| Nikushukuruje Bwana nikushukuruje
    |t| Bwana Bwana Bwana nikushukuruje Bwana
    |b| Nikushukuruje mimi nikushukuruje (sasa)
    [w] Mimi nikushukuruje Bwana wangu

  2. Nitaimba vipi mimi, wimbo gani niimbe
    Nimwimbie kwa furaha na shangwe kubwa
  3. Siku zote ninawaza, kitu gani nimpe,
    Kwa maana kila kitu ni mali yako,