Kwa Wingi wa Fadhili
| Kwa Wingi wa Fadhili | |
|---|---|
| Performed by | Kwaya Kuu ya St. Cecilia Arusha | 
| Album | Kando ya Mito | 
| Category | Thanksgiving / Shukrani | 
| Composer | Victor Aloyce Murishiwa | 
| Views | 9,180 | 
Kwa Wingi wa Fadhili Lyrics
- [s] Kwa wingi wa fadhili zako,
 [w] Kwa wingi wa rehema zako
 |s| Bwa-na Bwana nikushukuruje Bwana
 |a| Nikushukuruje Bwana nikushukuruje
 |t| Bwana Bwana Bwana nikushukuruje Bwana
 |b| Nikushukuruje mimi nikushukuruje (sasa)
 [w] Mimi nikushukuruje Bwana wangu
- Nitaimba vipi mimi, wimbo gani niimbe
 Nimwimbie kwa furaha na shangwe kubwa
- Siku zote ninawaza, kitu gani nimpe,
 Kwa maana kila kitu ni mali yako,
 
  
         
                            