Leo ni Siku ya Furaha

Leo ni Siku ya Furaha
Performed by-
CategoryPasaka (Easter)
Views5,228

Leo ni Siku ya Furaha Lyrics

  1. Leo ni siku ya furaha, kila mtu ashangilie
    Kristu Yesu kafufuka, ateka adui wote

    Tuimbe aleluya, aleluya tuimbe
    Hamo kaburini, tena mauti imeshindwa

  2. Adui hawatatushinda, tutakwenda uzimani
    Tunakunywa naye leo, kinywaji kipya milele
  3. Jua mwezi na nyota, viumbe vyote vya Mungu
    Vinafurahia leo, mfalme wa uongo kashindwa