Maisha Yangu

Maisha Yangu
Performed bySt. Cecilia Mavurunza
AlbumIyelele
CategoryThanksgiving / Shukrani
ComposerInnocent J. Mkuyuli
Views12,223

Maisha Yangu Lyrics

  1. Maisha yangu Bwana wangu umeyajaza neema
    |s| Hata (nabakia kijana *3) nabakia kama kijana hata
    |a| Hata (nabakia kijana *2) nabakia kama kijana
    |t| Hata nabakia kijana nabakia kijana
    |b| Hata nabakia kijana
    [w] Nabaki kijana mwenye nguvu kama tai

  2. Ee nafsi yangu umhimidi Bwana,
    Naam vyote vilivyo ndani yangu,
    Vilihimidi jina lake takatifu,
    Ee nafsi yangu umhimidi Bwana,
    Wala usizisahau fadhili,
    Usizisahau fadhili zake zote
  3. Mhimidi Bwana enyi malaika,
    Nyote nyinyi mlio hodari,
    Nyinyi mnaotenda neno lake Mungu
    Mhimidini Bwana enyi majeshi,
    Nyote nyinyi watumishi wa Bwana,
    Nyinyi mnaoyafanya mapenzi yake