Mama Akaitika
Mama Akaitika | |
---|---|
Choir | Kwaya Kuu ya St. Cecilia Arusha |
Album | Nakaza Mwendo (Vol 19-20) |
Category | Bikira Maria |
Composer | Bernard Mukasa |
Source | St. Theresa Cathedral Arusha Tanzania |
Musical Notes | |
Timesignature | 3 8 |
Musickey | F Major |
Notes | Open PDF |
Mama Akaitika Lyrics
1. Hatari ikaja nikageuka mbio kumlilia -
Nikaita mama naye akaitika mwanangu ee
Akaifungua mikono yake myema kanidaka -
Nikaita mama naye akaitika mwanangu ee
Nikalaza kichwa kifuani kwa mama nikihema-
Nikaita mama naye akaitika mwanangu ee
2. Wenye nguvu zao walibeba silaha, kupigana -
Wakapigania ndani ya nyumba yetu, hatari kuu
Wakazidiana paa wakalipua,tumekwisha -
3. Kwenye familia migogoro ya ndoa shida tupu -
Watoto wakawa na maadili duni, balaa tu -
Na magonjwa lundo uchumi hohehahe, taabu tu
4. Bibi yangu Eva alizaa laana duniani -
Mama yangu mwema akazaa wokovu,wa milele
Nkakabidhiwa niwe mwanaye naye, mamangu ee -
5. Uovu wa watu ulishika hatamu kila kona -
Amani ikawa ndoto ya jua kali haipo ee -
Hofu na mashaka vikafunika nchi,hatari kuu -
6. Baba wa kanisa akaniita shime tujiunge-
Tusali rozari tumlilie mama wa amani -
Atatusikia ataushusha mkono wa Yesu -
Nikaita mama naye akaitika mwanangu ee
Akaifungua mikono yake myema kanidaka -
Nikaita mama naye akaitika mwanangu ee
Nikalaza kichwa kifuani kwa mama nikihema-
Nikaita mama naye akaitika mwanangu ee
|t| Mama anayenipenda, Maria ananijali,
Popote ninapokwenda, mimi niko salama,
Nitakimbilia hapo hapo kwa mama wa
Nitakimbilia hapo hapo kwa mama wa upendo
|w| Mama yangu Maria nyumba ya salama
Mama yangu Maria nyumba ya salama
A hapo hapo kwa mama wa upendo
Ni hapo hapo kwa mama wa upendo
2. Wenye nguvu zao walibeba silaha, kupigana -
Wakapigania ndani ya nyumba yetu, hatari kuu
Wakazidiana paa wakalipua,tumekwisha -
3. Kwenye familia migogoro ya ndoa shida tupu -
Watoto wakawa na maadili duni, balaa tu -
Na magonjwa lundo uchumi hohehahe, taabu tu
4. Bibi yangu Eva alizaa laana duniani -
Mama yangu mwema akazaa wokovu,wa milele
Nkakabidhiwa niwe mwanaye naye, mamangu ee -
5. Uovu wa watu ulishika hatamu kila kona -
Amani ikawa ndoto ya jua kali haipo ee -
Hofu na mashaka vikafunika nchi,hatari kuu -
6. Baba wa kanisa akaniita shime tujiunge-
Tusali rozari tumlilie mama wa amani -
Atatusikia ataushusha mkono wa Yesu -
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |