Mimi Ndimi Mzabibu

Mimi Ndimi Mzabibu
Performed bySt. Joseph Migori
AlbumHodi Hodi
CategoryMafundisho ya Yesu
ComposerAlfred Ossonga
Views22,301

Mimi Ndimi Mzabibu Lyrics

  1. { Mimi ndimi mzabibu wa kweli,
    Mimi ni mzabibu wa kweli
    Nanyi m matawi yangu, asema Bwana } *2

  2. [ b ] Na Baba yangu ndiye mkulima,
    Kila tawi lisilozaa, Baba hulikata
    Nalo tawi lizaalo, Baba hulisafisha, ili lizidi kuzaa
  3. Kaeni nyote ndani yangu mimi,
    Nami nikae ndani yenu, kwa maana mtu
    Akaaye ndani yangu, nami ndani yake, huyo huzaa matunda
  4. Mimi ni mti mti wa zabibu,
    Nanyi ndinyi matawi ya mzabibu huu
    Tawi linalojitenga, kutoka kwa mti huu, hunyauka tena hufa