Mimi Ndimi Mzabibu
Mimi Ndimi Mzabibu | |
---|---|
Choir | St. Joseph Migori |
Album | Hodi Hodi |
Category | Mafundisho ya Yesu |
Composer | Alfred Ossonga |
Reference | Jn. 15 |
Mimi Ndimi Mzabibu Lyrics
{ Mimi ndimi mzabibu wa kweli,
Mimi ni mzabibu wa kweli
Nanyi m matawi yangu, asema Bwana } *2
1. [ b ] Na Baba yangu ndiye mkulima,
Kila tawi lisilozaa, Baba hulikata
Nalo tawi lizaalo, Baba hulisafisha, ili lizidi kuzaa
2. Kaeni nyote ndani yangu mimi,
Nami nikae ndani yenu, kwa maana mtu
Akaaye ndani yangu, nami ndani yake, huyo huzaa matunda
3. Mimi ni mti mti wa zabibu,
Nanyi ndinyi matawi ya mzabibu huu
Tawi linalojitenga, kutoka kwa mti huu, hunyauka tena hufa
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Tazama Tazama | 7482442 |