Mwimbieni Mwimbieni Bwana

Mwimbieni Mwimbieni Bwana
Performed bySt. Paul Students' Choir (University of Nairobi)
AlbumTazameni Miujiza (Vol 2)
CategoryEntrance / Mwanzo
ComposerJ. C. Shomaly
Views6,521

Mwimbieni Mwimbieni Bwana Lyrics

  1. Mwimbieni,
    Mwimbieni Bwana, mwimbieni Bwana,
    Mwimbieni, mwimbieni Bwana wimbo mpya,
    Kwa maana,
    Ametenda Bwana, mambo ya ajabu,
    Kwa maana Bwana ametenda maajabu,


    { Inueni sauti zenu, imbeni kwa furaha
    Imbeni na zaburi mshangilieni Mwokozi } *2
  2. Mkono wa kuume, mkono wake mwenyewe
    Mkono wake wa kuume umetenda wokovu
  3. Ameufunua, Bwana amefunua
    Wokovu wake machoni kwa mataifa yote
  4. Miisho yote, miisho ya dunia
    Imeuona wokovu, wokovu wake Bwana