Mwimbieni Mwimbieni Bwana
| Mwimbieni Mwimbieni Bwana | |
|---|---|
| Performed by | St. Paul Students' Choir (University of Nairobi) |
| Album | Tazameni Miujiza (Vol 2) |
| Category | Entrance / Mwanzo |
| Composer | J. C. Shomaly |
| Views | 6,926 |
Mwimbieni Mwimbieni Bwana Lyrics
Mwimbieni,
Mwimbieni Bwana, mwimbieni Bwana,
Mwimbieni, mwimbieni Bwana wimbo mpya,
Kwa maana,
Ametenda Bwana, mambo ya ajabu,
Kwa maana Bwana ametenda maajabu,
{ Inueni sauti zenu, imbeni kwa furaha
Imbeni na zaburi mshangilieni Mwokozi } *2- Mkono wa kuume, mkono wake mwenyewe
Mkono wake wa kuume umetenda wokovu - Ameufunua, Bwana amefunua
Wokovu wake machoni kwa mataifa yote - Miisho yote, miisho ya dunia
Imeuona wokovu, wokovu wake Bwana