Nampenda Bwana Mungu

Nampenda Bwana Mungu
Performed bySt. Paul Students' Choir (University of Nairobi)
AlbumTazameni Miujiza (Vol 2)
CategoryZaburi
ComposerJ. C. Shomaly
Views4,159

Nampenda Bwana Mungu Lyrics

  1. {Nampenda Bwana Mungu wangu kwa maana yeye amenisikia
    Ameyasikia maombi yangu sala zangu pia nazo dua zangu } *2
    { Nilipokuwa tabuni Bwana alinishika mkono (wangu)
    Kifo kiliponisonga akaniokoa } *2

  2. Nilipata huzuni na masumbuko mengi ya duniani
    Nikalia Bwana akakisikia kilio kilio changu
  3. Adui zangu waliponikaribia waliniogopa,
    Kwa sababu Bwana alikuwa karibu karibu yangu mimi
  4. Sasa nafurahia kwa sababu Bwana amenipenda
    Naimba na nyimbo nzuri nikili-sifu jina la Bwana