Ngong Ngong
Ngong Ngong | |
---|---|
Choir | St. Joseph Migori |
Album | Nitachezacheza |
Category | Entrance / Mwanzo |
Composer | Alfred Ossonga |
Ngong Ngong Lyrics
[s:] Ngong ngong ninagonga ee Bwana nisikie
[w:] Nimo malangoni ninakuita
[s:] Ngong ngong ninagonga mlango wako Bwana
[w:] Bwana nipokee nikaribishe
[s:] Nasikia kwa Bwana kuna chakula
[w:] Nimekuja Bwana unishibishe
[s:] Nasikia ya kwamba kuna kinywaji
[w:] Nimekuja leo niburudike
[s:] Bwana unipokee nisikilize
[w:] Unipe neema unibariki
1. Nyumba yake Bwana ni nyumba ya sala, endeni
kwa heshima, tukaijongee meza ya mapendo, kwa furaha
2. Nyumbani mwa Bwana mna neema nyingi nendeni
mkapewe, tuugonge mlango wake pamoja, tuingie
3. Bwana nimekuja leo na mapema, Mbele ya nyumba
yako, unikaribishe hekaluni mwako, nakuomba
4. Sala zangu na dua zangu natoa Bwana zikufikilie
Unifungulie masikio yako siku zote
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |