Nimekuja Kwako

Nimekuja Kwako
Performed by-
CategoryEntrance / Mwanzo
Views9,889

Nimekuja Kwako Lyrics

  1. [s:] Nimekuja kwako,
    [w:] Nimekuja kwako kukuabudu *2
    [s/b:] Ninakuabudu kwa sala (pia) kwa nyimbo.
    [a/t:] Kwa sala nakutukuza kwa nyimbo
    [w:] Nimekuja kwako kukuabudu *2

  2. Ninakusifu ee Bwana kwa kuwa wewe ni mwema,
    Na huruma yako ni ya milele *2
  3. Ninatubu dhmabi zangu kwa kuwa ni mkosefu
    Na msamaha wako ninakuomba *2
  4. Atukuzwe Mungu Baba pia na mwana na roho
    Kama mwanzo sasa mpaka milele