Nimeona Maji

Nimeona Maji
Performed by-
CategoryEntrance / Mwanzo
ComposerF. A. Nyundo
Views7,346

Nimeona Maji Lyrics

  1. Nimeona maji,
    Nimeona maji
    Yakitoka hekaluni upande wa kuume, aleluya
    Na watu wote waliofikiwa, na maji hayo wakaokoka
    Nao wakasema, aleluya, aleluya

  2. Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema
    Kwa maana fadhili zake ni za milele
  3. Atukuzwe Baba na mwana na Roho Mtakatifu
  4. Kama mwanzo na sasa na siku zote amina