Nimeona Maji
| Nimeona Maji | |
|---|---|
| Performed by | - |
| Category | Entrance / Mwanzo |
| Composer | F. A. Nyundo |
| Views | 8,932 |
Nimeona Maji Lyrics
Nimeona maji,
Nimeona maji
Yakitoka hekaluni upande wa kuume, aleluya
Na watu wote waliofikiwa, na maji hayo wakaokoka
Nao wakasema, aleluya, aleluya- Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake ni za milele - Atukuzwe Baba na mwana na Roho Mtakatifu
- Kama mwanzo na sasa na siku zote amina