Nimeona Maji
| Nimeona Maji | |
|---|---|
| Performed by | - | 
| Category | Entrance / Mwanzo | 
| Composer | F. A. Nyundo | 
| Views | 8,814 | 
Nimeona Maji Lyrics
- Nimeona maji,
 Nimeona maji
 Yakitoka hekaluni upande wa kuume, aleluya
 Na watu wote waliofikiwa, na maji hayo wakaokoka
 Nao wakasema, aleluya, aleluya
- Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema
 Kwa maana fadhili zake ni za milele
- Atukuzwe Baba na mwana na Roho Mtakatifu
- Kama mwanzo na sasa na siku zote amina
 
  
         
                            