Nimepiga Vita

Nimepiga Vita
Performed bySt. Joseph Migori
AlbumMabawa
CategoryGeneral
ComposerAlfred Ossonga
Views15,078

Nimepiga Vita Lyrics

  1. Nimepiga vita, vilivyo vyema,
    Vita vya roho na mwendo nimeumaliza *2
    Sasa nangojea kupewa taji ya washindi
    [Na] sio mimi peke yangu *2
    Pamoja na wateule waloshinda vita

  2. Ninakuagiza mbele ya Mungu na mbele ya Kristu
    Ukalihubiri Neno uwe tayari siku zote
    Ukaripie unene kwa uvumilivu
  3. Nao watajiepusha wasisikie yalo kweli
    Mimi nimevumilia hadi ninaoga mikono
    Bali wewe uwe na ukamilifu katika mambo yako
  4. Uvumilie mabaya fanya kazi ya kuhubiri
    Uihubiri injili uitimize huduma yako
    Sasa wakati wa kufa kwangu umefika