Nimevunja Mkataba

Nimevunja Mkataba
Performed byKwaya Kuu ya St. Cecilia Arusha
AlbumMSHIPI (VOL. 22)
CategoryTafakari
ComposerVictor Aloyce Murishiwa
Views12,332

Nimevunja Mkataba Lyrics

  1. Lo Kumbe ni wewe shetani umeniletea matatizo yote haya
    Ondoka kwangu haraka kwa jina la Yesu ondoka kwangu
    Lo kumbe ni wewe shetani ulisababisha nikamsahau Mungu
    Ondoka kwangu haraka kwa jina la Yesu ondoka kwangu

    { Nimevunja mkataba na wewe (shetani)
    Ondoka, ondoka nasema
    Namkaribisha Yesu moyoni mwangu }*2

  2. Lo kumbe ni wewe shetani ulisababisha nikafungwa gerezani-
    Lo kumbe ni wewe shetani nikaipokea rushwa-
  3. Lo kumbe ni wewe shetani ulinipeleka katika nguvu za giza-
    Lo kumbe ni wewe shetani uliniongoza katika njia ya dhambi-
  4. Lo kumbe ni wewe shetani unakosanisha ndugu nao majirani-
    Lo kumbe ni wewe shetani unasababisha vifo vinakuwa vingi