Ninazo sababu

Ninazo sababu
Performed bySt. Francis of Assisi Kariobangi
AlbumPaazeni Sauti
CategoryThanksgiving / Shukrani
ComposerAlfred Ossonga
Views4,208

Ninazo sababu Lyrics

  1. Ninazo sababu za kutoa shukrani zangu
    Ninakushukuru Bwana kwa ukarimu wako
    Ee Baba asante [sana] kwa upendo wako
    Pokea zawadi [hii], ninakutolea
     

  2. Enyi watu wa Mungu, njooni kwa masifu
    Kusanyikeni leo, mbele zake Bwana
    [Piga] pi- kelele, [piga] piga ngoma
    [Shangwe] sha- deremo, [piga] piga ‘kofi
     
  3. Mbingu pia dunia, ni mali ya Bwana
    Mito pia bahari, ni mali ya Bwana
    [Tuna]tu- sababu, [za ku]za- shukuru
    [Bwana]bwa- pokea, [shukra]shu- ni zetu
     
  4. Uhai wangu mimi, ni mali ya Bwana
    Sauti yangu nzuri, Bwana amenipa
    [Bwana] bwa- asante, [kwa we] kwa- ‘ma  wako
    [Naku] na- kwimbia, [naku] kuinua
     
  5. Natembea mchana, Bwana aniongoza
    Ninalala usiku, Bwana hunilinda
    [Bwana] bwa- asante, [kwa we] kwa- ‘ma  wako
    [Naku] na- shukuru, [naku] kutukuza