Nitajongea Altare

Nitajongea Altare
Performed by-
CategoryEkaristia (Eucharist)
ComposerF. A. Nyundo
Views7,801

Nitajongea Altare Lyrics

  1. Nitajongea altare yako, ee Bwana
    Nitajongea altare yako, ee Bwana

    Bwana nipokee nakuja
    { Ninakuja kwako, ee Bwana, kukupokea ee Bwana
    Kwani wewe ndiwe uzima } *2

  2. Chakula chenye uzima, ee Bwana . . .
    Huwashibisha wanyofu, wa moyo . . .
  3. Kinywaji chenye uzima, ee Bwana . . .
    Huwaponya wenye dhambi, ee Bwana . . .
  4. Naja sasa kwako Bwana, nipokee . . .
    Nipe neema zako Bwana, nipone . . .
  5. Moyo wangu meokoka, ee Bwana . . .
    Kukupokea ee Bwana, leo hii . . .
  6. Vile ulivyomsamehe, Magdalina . . .
    Nami naja kwako Bwana, nisamehe . . .
  7. Njoo Bwana njoo, njoo kwangu . . .
    Usikawie njoo Bwana, niponye . . .