Shamba la Mzabibu

Shamba la Mzabibu
Performed bySt. Dominic Kasarani Mwiki
CategoryZaburi
Views6,191

Shamba la Mzabibu Lyrics

  1. Shamba la mizabibu *2 la Bwana
    Ndilo nyumba ya Israeli *2

  2. Ulileta mzabibu, (mzabibu kutoka Misri)*2
    Ukafukuza mataifa *2, ukaupanda
  3. Kwa nini umezibomoa, (umebomoa kuta zake)*2
    Na hayawani wa kondeni wautafuna
  4. Ee Mungu wa majeshi, twakusihi urudi Baba
    Ujilie mzabibu huu, na mche uliopanda
    kwa mkono wako