Sheria yako Bwana

Sheria yako Bwana
Performed by-
CategoryZaburi
Views3,090

Sheria yako Bwana Lyrics

  1. Sheria yako Bwana *2 ninaipenda mno*2
    Ninaipenda ninaipenda , ninaipenda mno ajabu.

  2. Bwana ndiye aliye jungu langu
    Nimesema kwamba nitatii maneno yako
  3. Nakuomba fadhili zikae nanyi
    Sawasawa na ahadi yako kwangu