Siku Hii Ndiyo

Siku Hii Ndiyo
Performed by-
CategoryEntrance / Mwanzo
Views4,016

Siku Hii Ndiyo Lyrics

  1. Siku hii ndiyo aliyoifanya Bwana
    Tutaishangilie na kuifurahia

  2. Israeli nasema sasa,
    Fadhili zake ni za milele
  3. Mkono wake wa kuume,
    Wa Bwana hutenda makuu
  4. Sitakufa bali nitaishi nami,
    Nitasimulia matendo ya Bwana
  5. Jiwe walilolikataa waashi,
    Limekuwa jiwe kuu la pembeni
  6. Neno hili limetoka kwa Bwana,
    Nalo ni la ajabu machoni petu