Unihurumie Mimi Bwana

Unihurumie Mimi Bwana
Performed by-
CategoryKwaresma na Toba (Lent & Repentance)
Views13,735

Unihurumie Mimi Bwana Lyrics

  1. Unihurumie mimi Bwana
    Nimetenda dhambi mimi Bwana
    Ninakusihi ee Mungu wangu
    Unisamehe makosa yangu
    (Niliyokutendea ewe Mungu wangu
    na jirani yangu *2)

  2. Nami nimetengwa nawe Bwana nihurumie,
    Mimi ni mkosefu
  3. Naogopa uso wako unihurumie baba,
    Mimi ni mkosefu
  4. Wewe Baba Mwenye huruma unihurumie
    Mimi nimetenda dhambi