Watumishi Wake Baba
| Watumishi Wake Baba | |
|---|---|
![]() | |
| Performed by | - |
| Category | Kwaresma na Toba (Lent & Repentance) |
| Composer | (traditional) |
| Video | Watch on YouTube |
| Views | 64,058 |
Watumishi Wake Baba Lyrics
- Watumishi wake Baba wangapi waliopo
Wanakula na kusaza chakula chake BabaNami - Nami nataabika hapa
Nashi - Nashiriki na nguruwe
Chaku - Chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
Nita - Nitarudi na kusema
Baba - Baba yangu nisamehe
Nime - Nimekosa kwake Mungu, na mbele yako Baba - Baba kamwona yu mbali kashikwa na huruma
Akakimbia kumlaki kamkumbata na busu - Baba sistahili tena kuitwa mwana wako
Unifanye kama mmoja wa watumishi wako - Baba yangu nimekosa ninaomba huruma
Unisamehe nirudi nikakutumikie - Wanikaribisha mimi kwenye karamu yako
Meza imeandaliwa inaningoja mimi - Nasogea ninakuja ninakukimbilia
Mimi ni mtoto mpotevu Baba unipokee
