Wosia
| Wosia | |
|---|---|
| Alt Title | Mkimtumainia Mungu | 
| Performed by | Kwaya Kuu ya St. Cecilia Arusha | 
| Album | MSHIPI (VOL. 22) | 
| Category | Tafakari | 
| Composer | G. C. Mkude | 
| Views | 13,939 | 
Wosia Lyrics
- Tulieni ndugu zangu niwaambie siri moja
 Mkimtumainia Mungu mtayashinda yote
 Japo magumu ni mengi mtakayokutana nayo
 Mkimtumainia Mungu mtayashinda yote{ Mtavuka vikwazo vya shetani na magumu yote (nasema)
 Mbinu zake shetani na hila hazitawaangusha (nasema)
 Mkimtumainia Mungu mtayashinda yote } *2
- Kwa nguvu za Mwenyezi nasema hamtaaibika-
 Mtautimiza huu wito wenu kikamilifu -
- Mungu Baba yuko nyuma yenu anawapigania-
 Atawafukuza na maadui wenye hila mbaya .
- Wosia ninawapa ndugu muwe na uvumilivu-
 Kwani haya ya dunia si kitu wala si lolote .
 
  
         
                            