Yesu Akasema

Yesu Akasema
Performed by-
CategoryKwaresma na Toba (Lent & Repentance)
Views5,406

Yesu Akasema Lyrics

  1. Yesu Akasema, amini nawaambia,
    mmoja wenu anayekula nami atanitasaliti *2
    Wakahuzunika, wakaanza kusema,
    je ni mimi je ni mimi ni mimi Bwana (Yesu)
    Akawaambia ni mmoja wa hao thenashara
    ambaye achovya nami katika kikombe *2

  2. Lakini ole wake mtu yule anayemsaliti mwana wa Adamu
    Ingekuwa heri kwake kama asingelizaliwa
  3. [v] Nao walipokwisha kuila,
    [w] Walipanda mlima wa Mizeituni