Yesu Alia Msalabani
| Yesu Alia Msalabani | |
|---|---|
| Performed by | - | 
| Category | Kwaresma na Toba (Lent & Repentance) | 
| Views | 13,033 | 
Yesu Alia Msalabani Lyrics
- Yesu alia msalabani. Asikitika juu ya dhambi zetu
 Asulubiowa asiyekosa kwamba yeye ni mosajiEe mwanadamu lipi ambalo linalonipasa kuwatendea
 Ambalo sikuwatendeeni, hata ikanipasa msalaba
- Magonjwa yote aliyaponya, wafu nao aliwafufua
 Kundi la watu aliwaponya, lipi alilokosa
- Watu wa Mungu Bwana alia asikitika juu ya dhambi zenu
 Asulubiwa asiyekosa kwamba ni mkosaji
- Wana wa Mungu, Bwana alia, asema nyinyi mwamsulubisha,
 Msipobeba misalaba yenu kwani nyinyi m wakosaji
- Tazama Bwana akulilia, akuita ndipo akuokoe
 Tazama haya mapenzi yake Bwana hayana mwisho
 
  
         
                            