Haya Njooni Njooni

Haya Njooni Njooni
Performed byKwaya Kuu ya St. Cecilia Arusha
AlbumHaya Tazameni (Vol 21)
CategoryEntrance / Mwanzo
ComposerGabriel C. Mkude
Views6,223

Haya Njooni Njooni Lyrics

  1. {Haya njooni njooni, njooni tumsifu Bwana
    Haya njooni njooni, tumwimbie kwa furaha } *2
    {Tetemekeeni mbele zake, na msujudieni yeye
    Haya njooni njooni tumwimbie kwa furaha } *2

  2. Jongeeni mbele zake, jongeeni patakatifu
    Jongeeni tumuabudu Bwa-na Mungu wetu
  3. Kwapendeza *2 kusifu kwapendeza sana
    Njooni kwa shangwe tumsifu na tumsujudie
  4. Sujuduni kwa heshima mbele ya kiti chake Bwana
    Mbele ya kiti chake Bwana kiti chake cha enzi