Mbona Mwafurahi

Mbona Mwafurahi
Performed bySt. Benedict Rapogi
AlbumVol 3
CategoryEntrance / Mwanzo
ComposerOchieng' Odongo
Views12,277

Mbona Mwafurahi Lyrics

  1. Mbona mwafurahi, (leo) sisi tuna amani (kweli)
    Mbona mwafurahi, (leo) sisi tuna upendo (kweli)

    { Yesu ni mwalimu (kweli), tena ni dereva (wetu)
    Akiwa usukani sisi tuko salama } *2

  2. M-nakwenda wapi, (kule) nyumbani mwake Bwana
    Leo kuna nini, (ili) tutoe shukrani (zetu)
  3. Njooni watu wote, (leo) tukamwimbie Mungu
    Njooni tusujudu, (humu) hekaluni- mwake
  4. Mwili wake Bwana, (ni) chakula cha roho (zetu)
    Damu yake Bwana, (ni) kinywaji cha- kweli (kweli)
  5. Tufanyeni shangwe, viumbe wake Mungu (Baba)
    Kwa vigelegele, (pia) kwa kupiga makofi (sana)