Tena
Tena Lyrics
|s| {Haya haya haya tena haya tumerudi
tena kukuimbia kukusifu kwa nyimbo
tena watu kuwainua tena wakutukuze wewe }* 2
|b| haya haya haya tena haya tumerudi
tena twaja kukuimbia kukusifu kwa nyimbo tena
tena wakutukuze wewe tena
|a| haya haya tena haya tena haya tena kukuimbia
Kukusifu kwa nyimbo tena tena tena
wakutukuze wewe tena
|t| haya haya tena haya tumerudi
tena twaja kukuimbiaTena tena
watu kuwainua tena wewe tena wewe tena } 2
- Teremka uzisikilize nyimbo tulizokutungia
Karama ulizotujalia
- Njoo Bwana uzisikie sauti tamu ulizoumba
Wanao tunakurudishia
- Tega sikio usikie midundo tunayokupigia
Yote hii wewe utukuzwe
- Tupa jicho ujionee miondoko tunayokanyaga
Mifupa uliyotujengea
{Ni wewe tena uhimidiwe ni wewe tena!
Ni wewe tena ushangiliwe tena }*2