Tena

Tena
Performed byMbeya
CategoryEntrance / Mwanzo
ComposerBernard Mukasa
Views6,745

Tena Lyrics

  1. |s| {Haya haya haya tena haya tumerudi
    tena kukuimbia kukusifu kwa nyimbo
    tena watu kuwainua tena wakutukuze wewe }* 2
    |b| haya haya haya tena haya tumerudi
    tena twaja kukuimbia kukusifu kwa nyimbo tena
    tena wakutukuze wewe tena
    |a| haya haya tena haya tena haya tena kukuimbia
    Kukusifu kwa nyimbo tena tena tena
    wakutukuze wewe tena
    |t| haya haya tena haya tumerudi
    tena twaja kukuimbiaTena tena
    watu kuwainua tena wewe tena wewe tena } 2

  2. Teremka uzisikilize nyimbo tulizokutungia
    Karama ulizotujalia
  3. Njoo Bwana uzisikie sauti tamu ulizoumba
    Wanao tunakurudishia
  4. Tega sikio usikie midundo tunayokupigia
    Yote hii wewe utukuzwe
  5. Tupa jicho ujionee miondoko tunayokanyaga
    Mifupa uliyotujengea


    {Ni wewe tena uhimidiwe ni wewe tena!
    Ni wewe tena ushangiliwe tena }*2